Skip to main content
Skip to main content

Mbio za masafa zazinduliwa katika msitu wa Mau kaunti ya Nakuru,

  • | Citizen TV
    202 views
    Duration: 1:52
    Serikali imezindua mbio za masafa katika msitu wa mau katika kaunti ya Nakuru, mbio hizo zimeratibiwa kufanyika tarehe 24 Oktoba , 2025 katika kaunti ndogo za Kuresoi Kaskazini na Kuresoi Kusini ili kulinda na kuhifadhi msitu huo.