Tabasamu kwa wale wote walioathirika na mbolea feki ya bei nafuu.
Baada ya vilio na lalama kutoka kwa wakulima mbalimbali kupewa mbolea feki ya bei nafuu, sasa seriikali mejitokeza tayari kuwafidia wakulima walioathirika na mbolea hiyo waliyopokea kupitia maghala ya halmashauri ya nafaka na mazao nchini NCPB.
Akihutubia wanahabari katika makao makuu ya wizara ya kilimo baada ya kuwa na mkutano na viongozi wa vitengo husika katika sekta hiyo kama vile NCPB, kephis na KEBS, katibu katika wizara ya kilimo Dkt Paul Ronoh alisema kuwa wizara imeamrisha halmashauri ya NCPB kuwapatia wakulima walioathirika mbolea nyingine mbadala ya kupanda kwa wale ambao hawajapanda na kuwapa mbolea ya kunyunyizia kwa wale ambao tayari wameshapanda.
8 Aug 2025
- The crash has so far claimed six lives, as investigations commenced.
8 Aug 2025
- The governor had been out of the public eye for a long time.
8 Aug 2025
- Every prime time, the news supply can be dizzying. Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.
8 Aug 2025
- As the nation grapples with the aftermath of Thursday's aircraft tragedy that led to six fatalities, one family is appealing for help following the death of their daughter.
8 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary Aden Duale has suspended 40 health facilities after investigations revealed they were defrauding the Social Health Authority (SHA) system.
8 Aug 2025
- The crash has so far claimed six lives, as investigations commenced.
8 Aug 2025
- President William Ruto has announced a new government framework to compensate civilians and security personnel who suffered injuries or lost their lives during demonstrations and public protests in Kenya since 2017.
8 Aug 2025
- The governor had been out of the public eye for a long time.
8 Aug 2025
- Former Karachuonyo MP Phoebe Asiyo's burial underway in Wikondiek, Homa Bay; President Ruto, Prime CS Mudavadi, Governor Wanga present, Raila Odinga expected to attend.
8 Aug 2025
- Calls grow for Israel to scrap Gaza control plan
8 Aug 2025
- Premier hospital's former boss seeking payment for defamation and reputational damage.
8 Aug 2025
- An altercation involving a senior police officer and his junior, believed to be romantically involved with the same woman, has left one of them dead in Kitengela, Kajiado County.
8 Aug 2025
- Every prime time, the news supply can be dizzying. Take our quiz to test how well you understood the week's most important stories.