Tabasamu kwa wale wote walioathirika na mbolea feki ya bei nafuu.
Baada ya vilio na lalama kutoka kwa wakulima mbalimbali kupewa mbolea feki ya bei nafuu, sasa seriikali mejitokeza tayari kuwafidia wakulima walioathirika na mbolea hiyo waliyopokea kupitia maghala ya halmashauri ya nafaka na mazao nchini NCPB.
Akihutubia wanahabari katika makao makuu ya wizara ya kilimo baada ya kuwa na mkutano na viongozi wa vitengo husika katika sekta hiyo kama vile NCPB, kephis na KEBS, katibu katika wizara ya kilimo Dkt Paul Ronoh alisema kuwa wizara imeamrisha halmashauri ya NCPB kuwapatia wakulima walioathirika mbolea nyingine mbadala ya kupanda kwa wale ambao hawajapanda na kuwapa mbolea ya kunyunyizia kwa wale ambao tayari wameshapanda.
30 Apr 2025
- The lawmaker was gunned down within Nairobi city.
30 Apr 2025
- Kenya has been facing increased cases of suicide.
30 Apr 2025
- He joins the long list of Raila's allies that have benefitted in the broad-based govt.
1 May 2025
- Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
1 May 2025
- Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
1 May 2025
- US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
1 May 2025
- The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
1 May 2025
- How workers are coping with widening wage, costs gap
1 May 2025
- Tributes pour in for Kasipul MP Ong'ondo Were shot dead in Nairobi
1 May 2025
- Taking advantage of Labor Day to boost employee morale, organisational brand
1 May 2025
- VC with nine lives as Prof Paul Wainaina returns to KU
1 May 2025
- Workers suffer as Atwoli 'too young' to retire at 75
1 May 2025
- Intrigues on Gachagua's party and fate of allied MPs