- 746 viewsDuration: 2:55Rais Willam Ruto ametoa zawadi ya shilingi milioni 27 kwa wanariadha wa Kenya walioshinda nishani 11 katika mashindano ya dunia ya Tokyo majuma mawili yaliyopita. Rais Ruto pia aliahidi kuwa wanariadha 500 watajumuishwa katika vikosi tofauti vya usalama