Skip to main content
Skip to main content

Safari ya Starlets kuelekea AFCON yang'oa nanga

  • | Citizen TV
    327 views
    Duration: 1:17
    Kocha wa timu ya taifa ya kandanda ya wanawake Harambee Starlets Beldine Odemba amewaita wachezaji sita kutoka timu ya Rising Starlets kwenye kikosi cha kufuzu kwa kombe la mataifa ya Afrika. Odemba amewataka wachezaji 38 kufika kambini Jumapili, tarehe 5 Oktoba