Skip to main content
Skip to main content

Msaidizi wa Rais Farouk Kibet atoa mchango wa ksh.5m katika shule ya Kosachei Adventist Uasin Gishu

  • | Citizen TV
    3,362 views
    Duration: 3:52
    Hatimaye shule ya msingi ya Kosachei Adventist iliyoko eneo la Turbo kaunti ya Uasin Gishu, imepewa msaada wa shilingi millioni 5 za ujenzi wa miundomsingi ambayo imedorora. Shule hiyo imekuwa katika hali mbovu ya kutamausha.