- 274 views
Muungano wa Kitaifa cha Wafanyakazi wa walinzi wa Kibinafsi cha Kenya (KNPSWU) unashinikiza utekelezaji wa haraka wa nyongeza ya mishahara kwa walinzi wa kibinafsi kote nchini kama ilivyotangazwa na mamlaka ya udhibiti wa walinzi w akibinafsi. Maafisa wa muungano huo waliokutana Nairobi pia wanataka mazungumzo kati ya maafisa wote husika kutoka serikali kuu na muungano wa Cotu kutathmini usitishwaji wa michango ya wanachama kila mwezi kama ilivyoagizwa. Katibu mkuu wa cotu francis Awoli na mwenyekiti wa mamlaka ya udhibiti wa walinzi wa kibinafsi fazul mohammed wamerushiana cheche za maneno kuhusu makato ya wafanyikazi kwa cotu. Mamlaka hiyo iliamuru wafanyikazi wa mishahara ya chini zaidi walipwe shilingi elfu thelathini kila mwezi.
Muungano wa walinzi wa kibinafsi unadai mishahara
- 21 May 2024 - Two Kenyans have filed a case under a certificate of urgency seeking court orders to stop the transition from National Health Insurance Fund (NHIF) to Social Health Authority (SHA) pending a hearing and determination of the case.
- 21 May 2024 - The number of applicants dropped at the same time the govt is rolling out policies to restore sanity on Kenyan roads.
- 21 May 2024 - Taxpayers to pay over Sh200m as president hires Boeing Business Jet. A one-way trip to Atlanta, Georgia costs Sh98m.
- 21 May 2024 - Several electricity posts have been destroyed by strong winds that have hit the coastal region. The weather phenomenon has been triggered by Tropical Storm Ialy. “In the Majajani area of Kilifi County, strong winds blew off the roof of a residential…
- 21 May 2024 - The tragic incident came barely hours after Kenya Met's warning.
- 21 May 2024 - Explained: How Iran avoided power vacuum after Raisi plane crash
- 21 May 2024 - The name Hidaya was proposed by Meteo La Reunion, a weather agency based in France.
- 21 May 2024 - A new form of "therapy" that supposedly energizes patients and replenishes the body is causing a controversy online.
- 21 May 2024 - Finance Bill 2024: How the proposed tax on financial transactions will affect MSMEs
- 21 May 2024 - President William Ruto has praised CCI Global’s new Ksh.6.6 billion ($50 million) call centre in Tatu City, Kiambu County, during his United States tour.