- 274 views
Muungano wa Kitaifa cha Wafanyakazi wa walinzi wa Kibinafsi cha Kenya (KNPSWU) unashinikiza utekelezaji wa haraka wa nyongeza ya mishahara kwa walinzi wa kibinafsi kote nchini kama ilivyotangazwa na mamlaka ya udhibiti wa walinzi w akibinafsi. Maafisa wa muungano huo waliokutana Nairobi pia wanataka mazungumzo kati ya maafisa wote husika kutoka serikali kuu na muungano wa Cotu kutathmini usitishwaji wa michango ya wanachama kila mwezi kama ilivyoagizwa. Katibu mkuu wa cotu francis Awoli na mwenyekiti wa mamlaka ya udhibiti wa walinzi wa kibinafsi fazul mohammed wamerushiana cheche za maneno kuhusu makato ya wafanyikazi kwa cotu. Mamlaka hiyo iliamuru wafanyikazi wa mishahara ya chini zaidi walipwe shilingi elfu thelathini kila mwezi.
Muungano wa walinzi wa kibinafsi unadai mishahara
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - During a media briefing on Monday, Amin defended his earlier statement to the Senate, claiming that his account of the events leading up to Ojwang's death was a verbatim reading of entries from official police records, not a personal interpretation or…
- 1 Jul 2025 - A new Bill sponsored by Nairobi Woman Representative Esther Passaris seeks to prohibit public gatherings near Parliament and all protected areas.
- 1 Jul 2025 - The new bill could change how protests are conducted.
- 1 Jul 2025 - Speaking from Seville at a high-level forum on global cooperation, President Macron emphasized his common vision with President William Ruto: no country should be forced to choose between economic progress and environmental protection.
- 1 Jul 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) and the Independent Policing Oversight Authority (IPOA) have renewed their commitment to strengthening collaboration in a bid to enhance police accountability and protect human rights. In a meeting…
- 1 Jul 2025 - Former Vice President Kalonzo Musyoka’s party has officially changed its name to Wiper Patriotic Front from the founding name, Wiper Democratic Movement per a Kenya Gazette notice published by the Registrar of Political Parties.
- 1 Jul 2025 - The issue of visa refunds has been a constant bone of contention, especially with the UK and the US.
- 1 Jul 2025 - Nyaanga has been a long-time occupant and intended beneficiary of the land through the National Housing Corporation.