- 124 views
Wataalamu wa afya ya akili wanasema visa vya magonjwa ya akili vinazidi kuongezeka nchini, hivyo basi kuna haja ya serikali kuwekeza raslimali ya kutosha kuimarisha afya ya akili hususan miongoni mwa walimu na wanafunzi shuleni. Akizungumza katika kongamano la taasisi za kanisa katoliki jijini nairobi, afisa mkuu katika hospitali ya Chiromo daktari vincent hongo ameeleza kwamba utundu na ghasia shuleni ni dalili za matatizo ya akili na kwamba kuna haja ya kuwasaidia wanafunzi badala ya kuwaadhibu.
Dkt. Hongo: Utundu wa wanafunzi unaashiria matatizo ya akili
- - Taarifa za majimbo ››
- - Wanafunzi ››
- 21 May 2024 - A new form of "therapy" that supposedly energizes patients and replenishes the body is causing a controversy online.
- 21 May 2024 - President William Ruto has praised CCI Global’s new Ksh.6.6 billion ($50 million) call centre in Tatu City, Kiambu County, during his United States tour.
- 21 May 2024 - The proposed Finance Bill 2024 has been described as a burden for Kenyans and a setback to the economic growth of the country.
- 21 May 2024 - U.S. President Joe Biden strongly defended Israel on Monday, saying Israeli forces are not committing genocide in their military campaign against Hamas militants in Gaza in a rejection of criticism from pro-Palestinian protesters.
- 21 May 2024 - Security forces thwarted a coup attempt in the Democratic Republic of Congo on Sunday in which armed men targeted the homes of top officials and briefly occupied the office of the presidency in the capital Kinshasa, authorities said.
- 21 May 2024 - KEMSA, the National Council for Persons with Disabilities, and the Bandari Maritime Academy have announced job openings.
- 21 May 2024 - A spokesperson of US embassy in Nairobi has said.
- 21 May 2024 - Despite numbers showing Kenya’s economy grew over the last year, there are still concerns about the welfare of Kenyans who continue to feel the brunt of inflation and increased taxation.
- 21 May 2024 - President William Ruto is rooting for the local manufacturing of vaccines in Africa.
- 21 May 2024 - Nearly 10,000 Kenyans who lived on the parcels are now facing eviction.