- 100 views
Wenyeji wa eneo la Mahola katika eneo bunge ya Alego-Usonga wanalalamikia kukithiri kwa wizi wa mifugo katika eneo hilo baada ya zaidi ya ng’ombe 20 kuibwa katika kipindi cha chini ya siku tatu. Wakiongozwa na Mama Rose Akoth, ambaye ni mwathiriwa wa hivi punde, wakazi hao wanasema kuwa wezi wanalenga nyumba za wajane, wakilalamika kuwa licha ya kupiga ripoti kwa ofisi ya chifu na kituo cha polisi cha Mwer hakuna hatua yoyote imechukuliwa.Wajane hao wanaeleza kuwa mifugo wanaoibwa ndio kitega Uchumi chao. Kilio chao sasa ni kwa idara ya usalama kuongeza doria usiku.
Wenyeji wa Mahola Alego Usonga wanalalamikia wizi wa mifugo
- 22 May 2024 - Denis's report into Lacroix was concluded on May 6 and delivered to the pontiff in the days that followed, the Vatican said in its statement, which was translated into English and French, Canada's two official languages.
- 22 May 2024 - National Assembly Budget and Appropriations Committee Chairperson Ndindi Nyoro has revealed that the government will confirm all Junior Secondary School (JSS) teachers who are currently on intern terms.
- 22 May 2024 - The National Assembly Budget and Appropriations Committee Chair Ndindi Nyoro has downplayed assertions intimating that the school feeding programme has been scrapped due to its absence in the proposed budget for the 2024/25 fiscal year.
- 22 May 2024 - The National Assembly Budget and Appropriations Committee Chair Ndindi Nyoro has downplayed assertions intimating that the school feeding programme has been scrapped due to its absence in the proposed budget for the 2024/25 fiscal year.
- 22 May 2024 - Mombasa Woman Representative Zamzam Mohamed Chimba has firmly reiterated her unwavering stance against the use of muguka and the unregulated consumption of miraa in the county.
- 22 May 2024 - Hospital officials said Israeli forces had fired on the facilities and that snipers had been deployed near one of them.
- 22 May 2024 - The Israeli communications ministry accused the AP of breaching a new ban on providing rolling footage of Gaza to Qatar-based satellite channel Al Jazeera.
- 22 May 2024 - More than 600,000 students who qualified for placement in institutions of higher learning did not apply for any of the slots available this year.
- 22 May 2024 - The Ministry of Health is now blaming the Treasury for the vaccine crisis in the country.
- 22 May 2024 - PS Kimtai: Treasury ignored Ruto's request for health project funds