Skip to main content
Skip to main content

KMPDU yadai zaidi ya watu 670 wamefariki Kiambu tangu mgomo wa madaktari kuanza

  • | Citizen TV
    1,191 views
    Duration: 2:57
    Mvutano kati ya serikali ya kaunti ya Kiambu na madaktari unaendelea kutokota huku mgomo wao ukiingia mwezi wa tano. Muungano wa madaktari KMPDU sasa unataka serikali ya kaunti hiyo ivunjiliwe mbali, huku ukimtuhumu gavana Kimani Wamatangi kwa kutoshughulikia sekta ya afya. Na kama anavyotuarifu Emily Chebet, gavana amekana madai hayo, akisisitiza kuwa huduma katika hospitali zote Kiambu zinaendelea kama kawaida.