Skip to main content
Skip to main content

Master Ibrahim Ndung'u apandishwa daraja katika mashindano ya ulengaji shabaha

  • | Citizen TV
    930 views
    Duration: 1:21
    Mlengaji shabaha bora zaidi nchini Masta Ibrahim Ndung'u ameandikisha historia ya kuwa mkenya wa kwanza kupandishwa ngazi hadi kiwango cha 'A' cha mashindano ya IPSC.