Skip to main content
Skip to main content

Chama usambazaji wa dawa nchini chatoa onyo kuhusu upungufu wa dawa muhimu nchini

  • | Citizen TV
    579 views
    Duration: 2:07
    Chama cha wasambazaji dawa nchini kimetoa tahadhari kuhusu upungufu wa dawa muhimu. Chama hiki kikisema kuwa uhaba huu huenda ukasababishwa na hatua ya mtafaruku wa uagizaji dawa nchini, wanaosema utaathiri kuletwa nchini kwa zaidi ya dawa elfu 21