Skip to main content
Skip to main content

Walimu wapinga bima ya SHA, wadai huduma binafsi ya afya

  • | Citizen TV
    543 views
    Duration: 2:41
    Walimu kote nchini wanatoa wito kwa serikali kuwapatia bima binafsi ya afya wakipinga huduma kupitia bima ya SHA. Walimu wa sekondari msingi, JSS, wakiendelea kushikilia kujitegemea na kutambuliwa kando na walimu wa shule za msingi. Kwenye siku ya kuwasherehekea walimu duniani, waziri wa elimu Migos Ogamba ameahidi kuwa serikali itawaajiri walimu 24,000 kabla ya mwisho wa mwaka huu