Skip to main content
Skip to main content

Ruto awataka vijana kujisajili kupiga kura, aonya dhidi ya siasa za utengano

  • | Citizen TV
    3,194 views
    Duration: 1:24
    Rais William Ruto amewataka vijana kujitokeza kujisali kuwa wapiga kura kwenye zoezi linaloendelea kote nchini. Rais akisema vijana ndio wenye ufunguo wa uongozi bora. Akizungumza kaunti ya meru alikohudhuria ibada ya jumapili, rais pia ameendelea kukemea siasa za wapinzani wake akiwalaumu kwa kuendelea kuhubiri utengano badala ya utangamano