Helikopta ya Israel yashambulia ikivuka mpaka wake Gaza
Holikopta ya kivita ya Israeli imeonekana ikishambulia kwa makombora wakati ikiruka katika anga la eneo la kaskazini mwa Gaza lililioko mpakani na Jabalia Jumatano, wakati mapigano yakiendelea kuwa mabaya zaidi huko Gaza.
Umoja wa Ulaya umeitaka Israel kusitisha mara moja operesheni za kijeshi kusini mwa mji wa Rafah huko Gaza, wakisema Jumatano kuwa operesheni hiyo inazuia operesheni za usambazaji wa misaada ya kibinadamu na kusababisha watu zaidi kukoseshwa makazi, njaa na matatizo kwa binadamu.
Taarifa hiyo kutoka kwa mkuu wa sera za kigeni za Umoja wa Ulaya Joseph Borell imeeleza kuwa Israel ina haki ya kujihami lakini inasema Israel lazima ifuate sheria za kimataifa na kuwalinda raia.
“Umoja wa Ulaya inaitaka Israel kujizuia kuendeleza hali mbaya ya kibinadamu iliyoko huko Gaza na kufungua tena kivuko cha Rafah,”Borrell alisema. “Iwapo Israel itaendelea na operesheni yake ya kijeshi huko Rafah, itafanya bila shaka uhusiano kati ya EU na Israel kuwa mashakani.
Mapigano kati ya Israel na Hamas yalianza baada ya Oktoba 7 pale shambulizi la kigaidi la Hamas lilipouwa watu 1,200 nchini Israel.
#palestinians #reels #videography #voa #voaswahili
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #helikopta #shambulizi #unrwa #un
29 Apr 2025
- The bill introduces changes to the Income Tax Act, VAT Act, Excise Duty Act, and the Tax Procedures Act.
29 Apr 2025
- The changes are part of efforts to enhance tax administration.
29 Apr 2025
- Moi thrashed Kibaki and Matiba, who were from the same region, and Jaramogi Oginga Odinga in the 1992 polls.
30 Apr 2025
- African Export-Import Bank has rolled out a Ksh.388 billion revolving credit line that will enable African and Caribbean buyers to source petrol, diesel, jet fuel and other products from refineries on the continent more easily.
30 Apr 2025
- A Russian military court Tuesday sentenced a man to 27 years in jail for attempting to kill army pilots with poisoned alcohol and cakes at a graduation party on Ukrainian orders.
30 Apr 2025
- The Cabinet Tuesday, resolved to significantly realign the budget to cap the fiscal deficit at a maximum of 4.5% of GDP in the 2025/26 financial year, a reduction from previous years, with a medium-term target of 2.7%.
30 Apr 2025
- At least 26 people were killed on Monday when two vehicles detonated an improvised explosive device in Nigeria's northeastern Borno state, the heartland of an Islamist insurgency, residents said.
30 Apr 2025
- by Zadock Angira At least five quarry workers were killed yesterday morning in an attack while on the way to work in Bur Abor Village in Mandera East, Mandera County. The killings bring to over 100, the number of quarry workers, mainly Christians from…
30 Apr 2025
- Treasury to revise Budget estimates
30 Apr 2025
- Angata Barikoi: State defied court order not to evict families
30 Apr 2025
- Matiang'i joins Gachagua, Kalonzo team in talks for new coalition
30 Apr 2025
- MPs invite public views, evidence on Mediheal kidney saga
30 Apr 2025
- Ruto's name dragged into bloody Ang'ata land row