Helikopta ya Israel yashambulia ikivuka mpaka wake Gaza
Holikopta ya kivita ya Israeli imeonekana ikishambulia kwa makombora wakati ikiruka katika anga la eneo la kaskazini mwa Gaza lililioko mpakani na Jabalia Jumatano, wakati mapigano yakiendelea kuwa mabaya zaidi huko Gaza.
Umoja wa Ulaya umeitaka Israel kusitisha mara moja operesheni za kijeshi kusini mwa mji wa Rafah huko Gaza, wakisema Jumatano kuwa operesheni hiyo inazuia operesheni za usambazaji wa misaada ya kibinadamu na kusababisha watu zaidi kukoseshwa makazi, njaa na matatizo kwa binadamu.
Taarifa hiyo kutoka kwa mkuu wa sera za kigeni za Umoja wa Ulaya Joseph Borell imeeleza kuwa Israel ina haki ya kujihami lakini inasema Israel lazima ifuate sheria za kimataifa na kuwalinda raia.
“Umoja wa Ulaya inaitaka Israel kujizuia kuendeleza hali mbaya ya kibinadamu iliyoko huko Gaza na kufungua tena kivuko cha Rafah,”Borrell alisema. “Iwapo Israel itaendelea na operesheni yake ya kijeshi huko Rafah, itafanya bila shaka uhusiano kati ya EU na Israel kuwa mashakani.
Mapigano kati ya Israel na Hamas yalianza baada ya Oktoba 7 pale shambulizi la kigaidi la Hamas lilipouwa watu 1,200 nchini Israel.
#palestinians #reels #videography #voa #voaswahili
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #iran #helikopta #shambulizi #unrwa #un
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- The Kenyan was part of a group which had other East African nationals.
11 Aug 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
11 Aug 2025
- Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
11 Aug 2025
- The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
11 Aug 2025
- Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- He says the court has no authority to force the DPP to charge him.
11 Aug 2025
- The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
11 Aug 2025
- The interim order suspends gazette notices issued by CSs Mbadi and Kagwe.