Wakaazi wa Tabriz wakiomboleza kifo cha marehemu Raisi
Kikundi kikubwa cha watu kilikusanyika katika mji wa Iran wa Tabriz Jumatatu (Mei 20) baada ya helikopta iliyokuwa imembeba Rais wa Iran Ebrahim Raisi na watu wengine saba kuanguka (Mei 19) ilipokuwa inavuka eneo la mlima lililokuwa na ukungu mkubwa.
Baadhi ya watu walionekana wakilia, wakati wengine wakibeba mabango yaliyokuwa na picha za Raisin a Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian. Waliokufa katika ajali hiyo ni pamoja na gavana wa Mkoa wa Azerbaijan Mashariki na kiongozi mwandamizi wa kidini kutoka mji wa Tabriz.
Shirika la habari la Reuters lilifanikiwa kuthibitisha eneo hilo kutokana na majengo, kuta, na barabara na alama zake (ambazo zilionekana katika kanda ya video nyimgine iliyokuwa inaonyesha maeneo yaliyofanana) ambayo ililingana na picha za satellite za eneo hilo.
Khamenei alitangaza siku tano za maombolezo ya umma na kuthibitisha kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Mohammad Mokhber kuwa ni kiongozi wa mpito wa kitengo hicho cha watendaji wa nchi hiyo.
Iran hivi sasa ina kipindi cha siku 50 kamili kabla ya uchaguzi wa rais lazima kufanyika kumchagua mrithi wa Raisi. - Reuters
#iran #tehran #ebrahimraisi #waziri #mamboyanje #ajali #helikopta #voa #voaswahili #tabriz
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- The Kenyan was part of a group which had other East African nationals.
11 Aug 2025
- Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
11 Aug 2025
- Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
11 Aug 2025
- The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
11 Aug 2025
- Mobile phone ownership in Kenya has risen from 47.3% in 2019 to 53.7% in 2024 as internet usage also increased nationally from 22.7 per cent in 2019 to 35.0 per cent in 2024.
11 Aug 2025
- This comes a day after the case was reported at the Capitol Hill Police Station.
11 Aug 2025
- The Judiciary is now looking to make a closer and safer step into the future of technology with the latest unveiling of a framework that will guide the integration of Artificial Intelligence (AI) tools in enhancing operations at the Judiciary.
11 Aug 2025
- KUPPET claims that TSC should follow in the footsteps of the National Police Service.
11 Aug 2025
- He says the court has no authority to force the DPP to charge him.
11 Aug 2025
- The High Court has temporarily stopped the government from implementing a Cabinet decision allowing the duty-free importation of 500,000 metric tonnes of rice.
11 Aug 2025
- The interim order suspends gazette notices issued by CSs Mbadi and Kagwe.