- 769 views
Eneo la Kivutio cha watalii la maporomoko ya maji ya Fourteen Falls eneo la Thika katika kaunti ya Kiambu, liko katika hali ya kutokomea kufuatia mafuriko ya hivi maajuzi. Eneo hili lilitambulika na watalii wa kigeni pamoja na wenyeji waliofika hapo ili kufurahia mandhari nzuri na utulivu wake. Hata hivyo, uchafuzi mkubwa wa Mto Athi, ambao ndio uti wake, pamoja na maji taka na uchafu wa viwandani umefanya eneo lililokuwa likitembelewa sana kuachwa tupu. Kwa sasa, rundo la takataka zilizosombwa kutoka Nairobi na viunga vyake tayari linasakama eneo hilo. Wakizungumza wakati wa kusafisha 14-falls, washikadau walikiri kuwa maji hayo machafu yameharibu shughuli nyingi za kiuchumi kwenye mto huo ikiwemo uvuvi na kilimo.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Maporomoko ya 14-falls ‘yadidimia’
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction