- 53 views
baadhi ya vijana katika kaunti ya Siaya walifanya maandamano ya amani kilalamikia kile walichokitaja kuwa ubadhirifu wa fedha za umma katika serikali ya kaunti hiyo. Vijana hao walitembea kwenye barabara za mji wa Siaya wakitaka kukutana na gavana wa Siaya James Orengo.
RUNVCR…Wanadai kuwa kaunti hiyo imekuwa ikiajiri maafisa waliostaafu badala ya kuajiri vijana wasiokuwa na ajira. Vijana hao walisema hawatalegeza kamba hadi pale matakwa yao yatakaposhughulikiwa huku wakionya wahuni dhidi ya kujipenyeza katika maandamano yao ya amani .
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Vijana walalamikia ubadhirifu wa fedha Siaya
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - The residents said they would continue protesting until the government heeds their demands.
- 12 Jul 2025 - ODM leader says the issues raised by the youth should open the door for a national conversation.
- 12 Jul 2025 - "We don’t need an outsider to come here reminding us who to vote for."
- 12 Jul 2025 - Kenya Sugar Board CEO Chesire said move will allow immature cane to fully mature and improve both yields and quality.
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has announced plans to fence off the Kaptagat Forest Ecosystem as part of a broader initiative to protect all state forests across the country.
- 12 Jul 2025 - Head of State vows to deal with criminals who target other people’s property during protests.
- 12 Jul 2025 - The Kenya Sugar Board (KSB) has called on farmers to support a planned three-month shutdown of sugar factories across the country, arguing the move will allow sugarcane to mature fully and earn farmers higher returns. In a statement shared on Saturday,…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has accused the opposition of inciting young people to cause violence and ethnic tension instead of offering real solutions to challenges facing Kenyans.
- 12 Jul 2025 - “Whether you're a leader or hold any other position, if you pay criminals to cause havoc, we will hold you to account."