- 507 views
Makavazi ya Kitaifa kwa ushirikiano na kanisa la ACK yaliandaa sherehe maalum ya kumtuza David koi ambaye alikuwa mmoja wa walioweka juhudi za kukomesha biashara ya utumwa katika ukanda wa pwani na Afrika mashariki. katika hafla iliyoandaliwa katika eneo la Gede kaunti ya kilifi, wakaazi na Viongozi wa kaunti hiyo walipata nafasi ya kumfahamu shujaa huyo. Maafisa wa makavazi ya kitaifa wamesema kuwa kuna haja ya ushirikiano zaidi kati ya serikali ya kaunti na wafadhili ili kujenga mnara wa ukumbusho wa shujaa huyo.
Sherehe ya kumtuza David Koi yaandaliwa Kilifi
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - The residents said they would continue protesting until the government heeds their demands.
- 12 Jul 2025 - ODM leader says the issues raised by the youth should open the door for a national conversation.
- 12 Jul 2025 - "We don’t need an outsider to come here reminding us who to vote for."
- 12 Jul 2025 - Kenya Sugar Board CEO Chesire said move will allow immature cane to fully mature and improve both yields and quality.
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has announced plans to fence off the Kaptagat Forest Ecosystem as part of a broader initiative to protect all state forests across the country.
- 12 Jul 2025 - Head of State vows to deal with criminals who target other people’s property during protests.
- 12 Jul 2025 - The Kenya Sugar Board (KSB) has called on farmers to support a planned three-month shutdown of sugar factories across the country, arguing the move will allow sugarcane to mature fully and earn farmers higher returns. In a statement shared on Saturday,…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has accused the opposition of inciting young people to cause violence and ethnic tension instead of offering real solutions to challenges facing Kenyans.
- 12 Jul 2025 - “Whether you're a leader or hold any other position, if you pay criminals to cause havoc, we will hold you to account."