- 394 views
Wavuvi na wafanyibiashara wa baharini katika eneo la Msambweni kaunti ya Kwale wametaka serikali kuu na ya kaunti kutoa vifaa vya kusafisha bahari na kutunza mikoko ili kulinda mazingira ya baharini. Wakizungumza katika zoezi la kuzoa taka baharini eneo la Mwakamba na upanzi wa mikoko huko Makongeni wadau hao wamesema juhudi zao za kutunza mazingira ya bahari zimesababisha fuo za Diani kutambulika ulimwenguni na kutuzwa kama ufuo bora zaidi barani Afrika kwa mara ya nane.
Wavuvi na wafanyibiashara wataka vifaa vya kusafisha fuo za bahari huko Kwale
- 12 Jul 2025 - The family of Julia Njoki is demanding justice for their daughter as they remain unconvinced about the circumstances surrounding her death after the Saba Saba protests.
- 12 Jul 2025 - The residents said they would continue protesting until the government heeds their demands.
- 12 Jul 2025 - ODM leader says the issues raised by the youth should open the door for a national conversation.
- 12 Jul 2025 - "We don’t need an outsider to come here reminding us who to vote for."
- 12 Jul 2025 - Kenya Sugar Board CEO Chesire said move will allow immature cane to fully mature and improve both yields and quality.
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has announced plans to fence off the Kaptagat Forest Ecosystem as part of a broader initiative to protect all state forests across the country.
- 12 Jul 2025 - Head of State vows to deal with criminals who target other people’s property during protests.
- 12 Jul 2025 - The Kenya Sugar Board (KSB) has called on farmers to support a planned three-month shutdown of sugar factories across the country, arguing the move will allow sugarcane to mature fully and earn farmers higher returns. In a statement shared on Saturday,…
- 12 Jul 2025 - President William Ruto has accused the opposition of inciting young people to cause violence and ethnic tension instead of offering real solutions to challenges facing Kenyans.
- 12 Jul 2025 - “Whether you're a leader or hold any other position, if you pay criminals to cause havoc, we will hold you to account."