Skip to main content
Skip to main content

Afisa wa DCI akamatwa Thika kwa mauaji ya waendeshaji boda boda

  • | Citizen TV
    8,282 views
    Duration: 1:31
    Afisa mmoja wa idara ya DCI amekamatwa mjini Thika baada ya kuwapiga risasi na kuwaua waendeshaji bodaboda wawili karibu na Kituo cha Polisi cha Makongeni kufuatia ajali iliyohusisha gari lake na pikipiki.