Skip to main content
Skip to main content

Ajali za barabarani Nyeri na Bomet zaua watu 18

  • | Citizen TV
    7,885 views
    Duration: 3:16
    Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali za barabarani maeneo ya Nyeri na Bomet zimefikia watu kumi na wanane katika muda wa saa ishirini na nne zilizopita. Idadi hii ikiongezeka kufuatia ajali iliyotokea eneo la Kapmusa, Bomet na kuhusisha matatu na lori ya kubebea mchanga huku mtu mmoja zaidi kwenye ajali ya Nyeri akiaga alipokuwa akipokea matibabu.