- 3,414 viewsBaada ya zaidi ya miongo miwili, Arsenal hatimaye imeshinda ubingwa wa Ligi Kuu nchini Uingereza. Hii ni baada ya wapinzani wao wakuu Manchester City kutoka sare ya mabao 1-1 dhidi ya AFC Bournemouth usiku wa Jumanne. Ushindi huo umeibua shamrashamra na sherehe miongoni mwa mashabiki kote duniani, kama anavyotuarifu Luqman Mahmoud.