Skip to main content
Skip to main content

Ajira za SMASCO Saudi Arabia

  • | Citizen TV
    218 views
    Duration: 7:54
    Zoezi la kuwasajili madereva wa malori makubwa kwa nafasi za ajira nchini Saudi Arabia linaendelea leo kwa siku ya tatu katika uwanja wa Tononoka jijini Mombasa. M-Ajira, chini ya mwavuli wa EXECUGET kwa ushirikiano na SMASCO, imekita kambi jijini humo kusaka zaidi ya madereva 500 watakaonufaika na nafasi hizo za ajira, huku zoezi hilo likitarajiwa kukamilika kesho