Skip to main content
Skip to main content

Aliyekuwa Jaji Mkuu, David Maraga ameikosoa serikali dhidi ya bei ya gharama mafuta

  • | Citizen TV
    615 views
    Duration: 1:32
    Aliyekuwa Jaji Mkuu, David Maraga, ameikosoa serikali kwa kushindwa kuchukua hatua madhubuti za kuwalinda Wakenya dhidi ya ongezeko la gharama ya mafuta, akisema hali hiyo inaendelea kuathiri maisha ya wananchi wa kawaida.