17 Apr 2026 1:32 pm | Citizen TV 386 views Duration: 1:43 Kanisa la Kiangilikana Dayosisi ya Mbeere kaunti ya embu, sasa linatoa wito wa kurejeshwa kwa huduma za afya kwa serikali ya kitaifa, kwa sababu ya kuzorota kwa utoaji wa huduma hizo katika kaunti mbalimbali.