- 1,052 viewsDuration: 3:10Jamii zinazoishi katika kijiji cha kambi ya samaki kando ya ziwa Baringo, zimekuwa zikikumbwa na hali ya afya inayodhoofika kufuatia matumizi ya maji yenye kemikali aina ya flouride. Wakaazi wengi kutoka eneo hilo wana meno yaliyobadilika rangi pamoja na mifupa yao kuwa hafifu na kutatiza uwezo wa kutembea.