Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya viongozi wa magharibi wakosoa mkutano wa ODM

  • | Citizen TV
    1,376 views
    Duration: 2:23
    Baadhi ya Viongozi wa chama cha ODM eneo la magharibi wameapa kutohudhuria mkutano mkuu wa chama hicho, NDC ambao umeratibiwa kufanyika tarehe ishirini na saba mwezi huu jijini Nairobi.