Skip to main content
Skip to main content

Baadhi ya wakazi wa eneo la Kalatine Kitui wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji

  • | Citizen TV
    299 views
    Duration: 1:59
    Baadhi ya wakazi wa eneo la Kalatine, wadi ya Mumoni, Mwingi Kaskazini, wamelalamikia uhaba mkubwa wa maji ambao sasa unatishia ustawi wa familia zao.