Skip to main content
Skip to main content

BBC News Swahili

  • | BBC Swahili
    3,769 views
    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemuwekea vikwazo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi nchini Tanzania, Faustine Jackson Mafwele kuingia nchini Marekani. Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio imesema kwa kuzingatia taarifa zinazoaminika, Mafwele alihusika katika ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Mwandishi wa BBC @frankmavura na taarifa zaidi #bbcswahili #tanzania #MAREKANI Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw