- 163 viewsDuration: 1:39Wauzaji wa Mboga na samaki katika soko la ODM mjini Narok, wameendelea kulalamikia kuzorota kwa bei za bidhaa zao pamoja na biashara kutokana na kuongezwa kwa bei za mafuta. lingana nao, baadhi ya bidhaa zao zinaharibika kwani wateja hawanunui kutokana na hali ngumu ya maisha .