Kenya inadhamiria kuwekeza kwenye viwanda vya uundaji magari kama nguzo muhimu ya ustawi wa viwanda, kubuni nafasi za ajira na kuimarisha biashara ndogo na za kadri. Waziri wa uwekezaji na viwanda, Lee Kinyanjui amesema serikali imeweka mikakati ya kuboresha viwanda vya humu nchini ili kupunguza bei ya magari na kupiga jeki mpango wake wa Nunua Kenya Jenga Kenya. Taarifa hii na nyingine ni kwenye kitengo cha Kapu la Biashara.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive