Skip to main content
Skip to main content

Bunge la Nyeri lashauriwa kumfurusha Gavana Kahiga

  • | Citizen TV
    3,336 views
    Duration: 1:30
    Shinikizo limetolewa kwa bunge la kaunti ya Nyeri kuendeleza mchakato wa kumbandua mamlakani Gavana Mutahi Kahiga kutokana na matamshi yake dhidi ya hayati Raila Odinga.