Skip to main content
Skip to main content

CHADEMA: Uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 ni batili

  • | BBC Swahili
    15,529 views
    Duration: 1:17
    Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimetoa msimamo wake kuhusu uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 kwa kusema kuwa uchaguzi ni batili na vyema kufuta matokeo yote ya uchaguzi na kuvunja kwa tume huru ya uchaguzi (INEC) kwani hakina uhuru na hakiaminiki na watanzania. Hivi karibuni akizungumza na Wazee wa Dar es Salaam Rais Samia Suluhu Hassan alisema haishangazi kuwa alipata ushindi mkubwa kwa kuwa vyama vikuu vya upinzani Chadema na ACT hawakuwamo kwenye mbio za urais - - #bbcswahili #uchaguzi2025 #siasa #tanzania #chadema Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw