- 30,799 viewsDuration: 34sMakamu mwenyekiti wa Chadema John Heche amesema leo ni siku nyeusi na mbaya kwa wapigania haki baada ya mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu kupatikana na kesi ya uhaini ya kujibu. Amewataka wapenzi na wafuasi wa chama hicho kutovunjika moyo na maamuzi hayo. #bbcswahili #tundulissu Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw