Skip to main content
Skip to main content

Dereva Pius Ngugi yuwapi?

  • | Citizen TV
    5,846 views
    Duration: 2:36
    Familia moja eneo la Kawangware 56 jijini Nairobi wameomba maafisa wa usalama kufanya hima kuchunguza kutoweka kwa jamaa yao Pius Ngugi. Ngugi alitoweka siku 10 zilizopita alipokuwa akiendesha kazi yake kama dereva wa teksi za mtandao. Aliondoka nyumbani baada ya kupata mteja huku uchunguzi ukionyesha simu yake ilizimwa maeneo ya Athi River kaunti ya Machakos