Skip to main content
Skip to main content

Emmanuel Nchimbi, Makamu wa rais wa Tanzania aliyejiuzulu ni nani?

  • | BBC Swahili
    83,649 views
    Duration: 2:06
    Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kwa mujibu wa barua inayosambaa mitandaoni. Mpaka sasa hakuna mamlaka iliyothibitisha taarifa hiyo ingawa BBC imezungumza na vyanzo vyake vya ndani serikalini vilivyothibitisha taarifa hiyo. Sasa je Emmanuel Nchimbi ni nani haswa, alianza lini siasa? Bosha Nyaje anaelezea #bbcswahili #emmanuelnchimbi #tanzania Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw