- 2,010 viewsDuration: 3:27Familia zaidi ya 250 zimeachwa bila makao kufuatia mafuriko ambayo yamekumba sehemu za Kimorigho na Abori eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta. Familia hizo zimeomba usaidizi kutoka serikali kuu na ya kaunti kutafuta suluhu ya kudumu kwani mafuriko kutoka nchi jirani ya Tanzania pia yameachangia mahangaiko wanayopitia.