Skip to main content
Skip to main content

Familia huko Kitui yaomba msaada ili kumzika mpendwa wao aliyefariki zaidi ya miezi-2 iliyopita

  • | KBC Video
    905 views
    Duration: 3:31
    Familia moja huko Kitui inatafUta msaada ili kumzika jamaa yao aliyeaga dunia miezi miwili unusu iliyopita. Mwili wa Regina Amina mwenye umri wa miaka 54, umezuiliwa katika makafani ya hospitali ya Mama Lucy, kaunti ya Nairobi tangu tarehe 24, mwezi Oktoba, mwaka jana baada ya familia hiyo kushindwa kulipa shilingi laki tatu. Na jinsi mwanahabri wetu Timothy Kipnusu anavyotuarifu, Mzozo wa mahala pa kumzika mwendazake umezuka kati ya Mwanaye na wajomba zake. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive