- 861 viewsDuration: 3:09Familia moja kaunti ya Kajiado sasa inataka mashirika ya kushughulikia majanga kuwasaidia kumtafuta mwana wao wa gredi ya sita aliyesombwa na mafuriko. Familia ikisema imeshindwa kuandaa mazishi baada ya kushindwa kuuopoa mwili wa Cecilia Wanzaa kutoka mto Meruweshi, ambaye wanasema walimudu tu kupata vitabu na mkoba wake.