Skip to main content
Skip to main content

Familia Kiminini yaomba uchunguzi wa kifo cha jamaa yao nchini Cambodia

  • | Citizen TV
    3,267 views
    Duration: 2:48
    Familia moja katika eneo bunge la Kiminini, kaunti ya Trans Nzoia, inaitaka serikali kuisaidia kubaini kilichosababisha kifo cha jamaa yao nchini Cambodia. Familia hiyo inasema kuwa jamaa huyo alitoweka na kisha baadaye kupatikana ameaga dunia katika mazingira ya kutatanisha. Familia hiyo sasa inaitaka serikali kubaini alivyopatikana nchini Cambodia na pia kusaidia kurejesha mwili wake humu nchini.