- 11,772 viewsDuration: 2:40Familia mia tatu katika kaunti ya Homa Bay zimesalia bila makao baada ya ya Mto Sondu Miriu kuvunja kingo zake. Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo, pia imeharibu mazao ya thamani katika eneo la Othaya kaunti ya Nyeri na kuwaacha wakazi na hofu ya kusombwa na maji.