- 455 viewsDuration: 1:27Wakati wa ibada hiyo katika kanisa la Ridgeways Baptist, familia, marafiki na wenzake bungeni walitoa heshima zao, wakisifia mengi maishani mwake. Hamisi aliingia bunge la kitaifa baada ya uchaguzi mkuu wa 2022, kupitia chama cha Amani National Congress (ANC). Alifariki katika ajali ya barabarani eneo la Karen, Nairobi, jumamosi iliyopita