Skip to main content
Skip to main content

Familia ya boda boda aliyepatikana amefariki Kawangware yaomba uchunguzi wa polisi na IPOA

  • | Citizen TV
    2,530 views
    Duration: 2:36
    Familia ya muhudumu wa boda boda aliyepatikana amefariki katika kituo cha polisi cha Kawangware Jack Leon Maloba, sasa inawataka maafisa wa ipoa na wale wa upepelezi kubaini kilichotokea. Hii inafuatia upasuaji wa mwili wake ulioonyesha alifariki kwa kukosa hewa baada ya kupatikana akining'inia kwenye seli ya polisi. Hata hivyo shughuli hiyo haijabaini wazi iwapo alinyongwa au alijitia kitanzi