10 Apr 2026 10:11 am | Citizen TV 781 views Duration: 2:36 Familia ya kijana wa umri wa miaka 22 aliyefariki baada ya kupigwa risasi na polisi imeitaka mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi IPOA kufanya uchunguzi wa haraka na kuwachukulia hatua polisi waliohusika.