Skip to main content
Skip to main content

Familia ya Rachel Wandeto yapata afueni baada ya mahakama kuamuru mwili wake uachiliwe

  • | Citizen TV
    8,567 views
    Duration: 1:37
    Familia ya marehemu Rachel Wandeto, mwanamke aliyeuawa kwa kuchomwa kwa tindikali baada ya kuchora picha ya rais ruto begani, ina sababu ya kutabasamu baada ya mahakama ya Kerugoya kuamuru azikwe.