Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa uvamizi wa All Saints Cathedral adai walilipwa kuzua vurugu

  • | Citizen TV
    28,104 views
    Duration: 6:08
    Mtu mmoja anayedai kuwa miongoni mwa wanaoshukiwa kuhusika na uvamizi katika All Saints' Cathedral Nairobi amezungumza akidai kuwa walitumwa na wanasiasa fulani. Katika mahojiano na Citizen TV Kenya, mwanamume huyo amekiri kuwa wao hulipwa shilingi elfu mbili kuzua vurugu lakini wakati huu walipovamia kanisa hilo walilipwa shilingi elfu moja pekee.