Skip to main content
Skip to main content

Familia za waathiriwa wa maandamano zasema siku 60 hazitoshi kuwasilisha stakabadhi

  • | Citizen TV
    594 views
    Duration: 2:58
    Familia za waathiriwa wa maandamano sasa zinataka muda kuongezwa kuwapa nafasi zaidi ya kuwasilisha stakabadhi kwa tume ya kitaifa ya haki za binadamu kuwasaidia kupata fidia. Familia hizo zinasema baadhi yao bado hawajawasilisha stakabadhi hizo wakisema muda wa siku sitini hautoshi.