- 7,449 viewsDuration: 3:10Uhaba wa mafuta umeanza kunukia nchini huku foleni ndefu zikishuhudiwa kwenye vituo vya mafuta sehemu mbalimbali nchini. Japo vituo vingi vimeendelea kuuza mafuta hapa jijini Nairobi, foleni za kununua mafuta zimeshuhudiwa katika maeneo ya Nyamira, Bonde la Ufa, Kati na hata Magharibi ya Kenya.