Skip to main content
Skip to main content

Gachagua amkosoa rais Ruto akidai hana nia ya kukabiliana na mihadarati nchini

  • | Citizen TV
    1,559 views
    Duration: 1:18
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua ameshutumu hatua ya Rais William Ruto kuanzisha upya vita dhidi ya dawa za kulevya nchini, akisema Rais mwenyewe alikatiza vita hivyo alipobanduliwa mamlakani kama Naibu Rais