Skip to main content
Skip to main content

Gachagua amshutumu Ruto, asema ufisadi unaelekeza nchi visivyo

  • | Citizen TV
    375 views
    Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amesema Kenya inaelekezwa visivyo kutokana na ufisadi. Akizungumza kwenye mahojiano nchini Uingereza, naibu rais huyo wa zamani alimlaumu rais William Ruto kwa madai ya kueneza ufisadi kupitia wizi wa rasilmali ya umma, jambo ambalo anasema imepandisha gharama ya maisha.